Quantcast








     

Tukifanya haya tutaboresha elimu yetu

jamiiforums.com - 2013-06-09 11:51:50 - Similar - Report/Block

Kama mdau mkubwa wa elimu, naona mambo haya yataboresha elimu yetu 1. Vyumba vya madarasa vya kutosha 2. Madawati ya kutosha (tuna misitu mingi sana) 3. Maabara oa vifaa vya kutosha 4. Vitabu vyenye sifa katika ngazi husika 5. Mtaala na sera yetu kama taifa kuhusu elimu 6. Viwanja vya michezo mashulen 7. Walimu wa kutosha na walio hitimu...

Wanao hoji juu ya elimu ya mbowe, majibu ni haya!

jamiiforums.com - 2013-06-08 18:20:40 - Similar - Report/Block

Hii ndio elimu ya mhe. Mbowe , ambae ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa jimbo la Hai. Member of Parliament CV GENERAL Salutation Honourable Member picture First Name: Freeman Middle Name Aikaeli Last Name: Mbowe Member Type: Constituency Member Constituent: Hai Political Party: CHADEMA Offic...

Athari za matumizi ya neno "mliberali"

jamiiforums.com - 2013-06-07 20:05:44 - Similar - Report/Block

Tangu kutokea kwa sakata la wenje na cuf bungeni kuhusu ishu ya uliberali, matumizi ya neno USHOGA/USENGE ( Ashakum si matusi ) yanaonekana kuwa substituted kwa neno " Mliberali". Najua watu wengi wanatumia neno "Mliberali" kama tafsida ili kupunguza ukali wa maneno. But kwa mtazamo, matumizi ya neno mliberali yanaweza kuongeza kasi ya vi...

Valerie Jarrett says Eric Holder won’t resign over media scandals

theblaze.com - 2013-06-06 20:20:46 - Similar - Report/Block

In an interview with the Huffington Post , White House Senior Adviser Valerie Jarrett said there’s no chance Attorney General Eric Holder will resign in light of revelations that his Justice Department has spied on journalists. “You can take it from me,” she said. “He will be in his position for quite a while.” Jarrett also said Holder...

Uchakachuzi wa elimu ni chanzo cha ukaribishaji wa majambazi

jamiiforums.com - 2013-05-10 20:17:49 - Similar - Report/Block

ni jambo la kusikitisha na kuhuzunisha kuona elimu yetu ambayo ilijengewa misingi bora na imara sasa inaangamia. Ikumbukwe kuwa mwalimu julius kambarage aliifanya elimu ya tanzania kuonekana nzuri na yakuigwa na mataifa mengne ya jumuia ya afrika mashariki mfano, uganda, kenya nk. Lakini leo unapoongea elimu ya tanzania imekuwa ikiangamia...

Re: MuME MLEVI NA HAACHI MATUMIZI

jamiiforums.com - 2013-05-05 16:44:19 - Similar - Report/Block

Hope everybody is fine. Hebu tushauriane hapa (mwanamke mwenzetu ameomba ushauri); mwanaume ni mlevi. anaondoka asubuhi hadi usiku mwingi yeye yuko bar tu analewa mwanzo mwisho. Kama siku za kazi basi akirudi ni huko juu kwa juu kwenye bar kulewa hadi usiku wa manane. Nyumbani haachi hela ya matumizi ila akikuta msosi anakula ila kamwe ha...

Tatizo la elimu yetu halijajulikana?

jamiiforums.com - 2013-05-05 08:25:41 - Similar - Report/Block

Waungwana hivi unavyofanya standardization kwa matokeo ya kidato cha nne ya 2012 ni kwamba tatizo la msingi halijajulikana? Mimi naona kuna mengi ya kuangalia kabla hatujakimbilia huko 1.Mitaala yetu inajulikana? 2.Walimu wanaofundisha wanakidhi vigezo na viwango vya kuwa waalimu? 3.Walimu wanapata kile wanachostahili kwa kazi wanayoifany...

Elimu ya tanzania

jamiiforums.com - 2013-05-04 15:27:35 - Similar - Report/Block

Ndugu wapendwa habari zenu,natumaini kuwa kila mmjoa yuko ktk shughuli za kila cku yaan kila mmoja ni mzima wa afya njema. leo ningependa waungwana,wapenz wa tz,wadau wa elimu,nawengineo tujadili juu ya ELIMU YA TANZANIA.kiukweli tunatia haibu dunia nzima,hivi nikwel wasomi wa tz tumeshindwa kuweka mikakati thatibi kuhu elimu,au tatizo ni...

Serikakali ya ccm ni janga kuu la elimu tanzania

jamiiforums.com - 2013-05-04 12:53:08 - Similar - Report/Block

Kila kukicha elimu Tanzania inaporomoka, hizi hapa ni mojawapo ya sababu: 1. Serikali kutokuwa na sera madhubuti ya elimu 2. Elimu kuingiliwa na wanasiasa mfano Mh. Kikwete kufuta mtihani wa kidato cha pili 3. Kuchaguliwa kwa wanafunzi waliopata madaraja ya chini kujiunga na vyuo vya elimu mfano Div 4 kwa wale wa cheti, Principal pass moj...

Matumizi ya deni la taifa, je ni halali?

jamiiforums.com - 2013-04-26 09:29:11 - Similar - Report/Block

wana Jamii, habarini za asubuhi, Ninamuda nimekuwa najiuliza, hivi matumizi makuu ya Fedha tunazokopa nje ya nchi ni yapi? Majibu niliyokuja kuyapata baada ya uchunguzi ni haya: 1. Ujenzi wa barabara na madaraja 2.Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. 3. Ujenzi wa bandari na miradi inayofanana na hiyo. Nikajiuliza zaidi, kwani mapaato y...

Tabia za watz zinazokera

jamiiforums.com - 2013-04-25 17:31:53 - Similar - Report/Block

Jamani naomba tuorodheshe tabia zinazokera kwa watz: 1) Kumpigia mtu simu haipoelewi, na baadaye wala hasumbuki kupiga au kutuma sms 2) Kupigiwa simu za kila wakati na kukopwa 3) Kuombwa Vocha 4)Kukutana na mtu anayejifanya anakufahamu sana na baadaye kukupiga mzinga 5) Kulalamikia ugumu wa hali ya maisha kila siku na kutochukua hatua yoy...

Je, bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi itawasilishwa lini?

jamiiforums.com - 2013-04-22 05:44:15 - Similar - Report/Block

Naomba kujua siku ambayo bajeti ya Elimu itasomwa Bungeni. Huo ni wakati wa kufanya tathmini juu ya nia ya serikali kuboresha Elimu hapa nchini. Karibu kwa mchango wasko.

evolveStar Join

Uongozi wa veta wafuta trade test kinyemela kinyume cha sheria

jamiiforums.com - 2013-04-21 15:44:10 - Similar - Report/Block

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imefuta mitihani ya Trade Test kinyemela kinyume cha Sheria ya Bunge Na. 1 ya 1994 iliyounda Mamlaka hiyo. Mfumo wa Trade Test unatambuliwa kisheria kwa mujibu wa vifungu 6(2)(g)(ii) na13(2)(d) vya sheria hiyo. Uongozi wa VETA ulifanya maamuzi ya kuachana na Trade Test na badala yake mfum...

Haya ndo matusi ya wabungeambayo spika ameahidikuwashitaki polisi

jamiiforums.com - 2013-04-17 11:48:14 - Similar - Report/Block

Lugha kama hizi zimesababisha Watanzania wengi wakose hamu ya kusikiliza vikao vya Bunge. Tumechoshwa na lugha chafu za waheshimiwa. Bunge ni sehemu ambayo tulipaswa kuwa tunasikiliza hoja za sera zikiwasilishwa na sheria kutungwa, lakini imeshindikana. JOSEPH MBILINYI: "Mambo mengi ya nchi hii hayaendi kutokana na SERIKALI PUMBAVU.... Ha

Diwani wa CCM asema shule zetu zimeanzishwa kisiasa

jamiiforums.com - 2013-04-16 11:46:52 - Similar - Report/Block

Akizungumza katika tathmini ya Elimu wilaya ya songea vojijini diwani huyo ambae alipata kuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo alisema pamoja na kuanzisha shule kisiasa pia aliituhumu wazara ya elimu kuwaumiza kwa kuwa na mpango mbaya ktk elimu yetu. Akaenda mbali kwa kusema haamini ktk mpango wa vitabu huria.(mult text) mh huyo ambae anaju...

Mheshimiwa Mulugo Chondechonde soma hapa

jamiiforums.com - 2013-04-11 18:16:19 - Similar - Report/Block

Naomba bila kuzunguka Ndugu Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, uvitazame kwa jicho la pekee vyuo vya ualimu Tanzania kwani kuna matatizo makubwa sana. Wafanyakazi hatujawahi pata fedha za likizo miaka mingi sana, hatujalipwa madai yetu ya mishahara, fedha za BTP zinachakachuliwa, wafanyakazi hatupandishwi vyeo, matumizi ya michan...

News Alert: Mulugo: Nawapeleka Mahakamani Wanaosema Nimegushi Vyeti

jamiiforums.com - 2013-04-11 15:52:50 - Similar - Report/Block

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amesema atawafikisha mahakamani watu wanaodai kuwa ameghushi vyeti vya elimu ya sekondari. Mulugo alisema amechoshwa na kashfa hizo zinazosambazwa na baadhi ya watu atawafikisha mahakamani endapo wataendelea kumdhalilisha. Mulugo alitoa kauli hiyo alipofungua mkutano wa mwaka wa U...

wizara ya elimu sasa ina mpango wa kushusha alama za kufaulu kuingia form five

jamiiforums.com - 2013-04-11 14:43:05 - Similar - Report/Block

Wizara ya elimu kwa sasa inao mpango wa kushusha alama za kufaulu kwa wananafunzi wanaomalza kidato cha nne..naibu waziri wa elimu philipo mlugo alisema kuwa wizara inaangalia utaratibu mpya wa kushusha alama,credit za kufaulu kutoka C tatu hadi D mlugo alidai kuwa ni vema mwanafunzi atakayemalza form iv akapata C mbili na D moja au D tat...

Mkwawa, elimu bora bado ni tatizo.

jamiiforums.com - 2013-04-09 17:01:19 - Similar - Report/Block

Matatizo mbalimbali yanachokikumba chuo kikuu kishiriki, MKWAWA(MUCE), JAMANI HAYA MATATIZO YATAISHA LINI? Ndugu wanajamii forum, tatizo la elimu bora kwa kila mtanzania ni Tatizo, kumbe hata vyuoni elimu bora haitolewi, hii ni kukosa sehemu za mihadhara kwa ajili ya wanachuo kusomea au kujifunzia. Sasa huu uongozi wa mama( MKUU WA CHUO)...

Nini hii kuhusu analogia na digitali?

jamiiforums.com - 2013-03-23 19:18:27 - Similar - Report/Block

Jamani Tz naomba elimu kiduchu! Kuna ugomvi wa jamaa wanaotaka kuwashiwa mitambo ya analogia lakini wawashaji hawataki. Swali: Hivi kuwasha mitambo ya analogia kuna gharama yeyote mpaka kuzue kelele zote hizo? Kwa nini mitambo yote isiwashwe? Mimi nina simu yenye TV na nilikuwa nikiangalia vipindi mbalimbali kwa mobile yangu. Nina hakika...

Tume ya Pinda yatoa taarifa yake;hatahivyo,haina jipya

jamiiforums.com - 2013-03-21 06:26:49 - Similar - Report/Block

HATIMAYE tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2012, iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, imetoa taarifa yake. Tume hiyo imebaini sababu zilizochangia matokeo hayo kuwa mabaya ni upungufu wa walimu na matumizi ya vitabu vilivyopitwa na wakati. Sababu nyingine ni usimamizi dhaifu katika sekta ya elimu, pamoja na...

Haya ni matumizi ya elimu

jamiiforums.com - 2013-03-20 15:32:15 - Similar - Report/Block

Watz;Is't right 4 holder of diploma,bachelor,masters,n.k ku2mia elim ya vbaya kisiasa?.mf,mwanasiasa mwenye bachelor,master n.k anapohadaa umma ili kjnufaisha kisiasa,je,hawa wasom wanafaida kwa taifa?.why waspokwe vyet vyao il kulinda heshima ya TZ?...

Haya wadada kumekucha!!!!! Hata ukibisha!!!

jamiiforums.com - 2013-03-20 12:45:16 - Similar - Report/Block

Haya wadau mnasemaje kwenye hii? Attached Thumbnails...

Wana jf tambua ya kuwa:

jamiiforums.com - 2013-03-20 06:01:12 - Similar - Report/Block

LAKINI TAMBUA YA KUWA: ** Dagaa mboga, Kuku mbwembwe tuu. ** Silaha pesa, Bastola mzigo tuu. ** Heshima pesa, Shikamoo kelele tuu. ** Upara bila elimu/Pesa, Sawa na kovuu tuu. ** Chezea mshahara, Usichezee kazi. ** Iga kazi, Usiige matumizi. ** Ukitaka kujua shortcut mjini, kula nauli. ** Ukitaka kumjua mke/mume wa mwenzio mchungu...

Abdallah Bulembo: Kamwe! Kawambwa na Katibu Mkuu wizara ya Elimu hawatajiuzulu.....

jamiiforums.com - 2013-03-17 18:40:05 - Similar - Report/Block

Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa, Alhaji A. Bulembo! amesema Waziri wa Elimu na Katibu wa wizara hiyo hawatajiuzulu kwa kushinikizwa na maandamano ya Chadema 25 Mach. katika majiji ma 4! Haya sasa! CCM hawa hapa tena, wanaridhika na ziro kibao!.

Kawambwa anaonewa

jamiiforums.com - 2013-03-15 09:56:24 - Similar - Report/Block

Mipango inayoandaliwa na watu au taasisi yoyote ile kufanya maandamano ya kumng'oa Kawambwa na naibu wake Mulugo ni haramu na dhaifu. Sekta ya elimu ni pana sana na ufaulu wa mwanafunzi hautegemei kitu kimoja. Waziri sio lazima awe mtaalamu wa wizara anayoiongoza,nafasi yake ni ya kisiasa,yeye anasimamia utekelezajj wa ilani ya chama chak...

Jukwaa la elimu na mada zinazoandikwa ndani yake

jamiiforums.com - 2013-03-12 10:44:53 - Similar - Report/Block

Kuna tofauti kubwa sana kati ya threads zinazokuwa posted kwenye jukwaa la elimu na mantiki nzima ya neno ELIMU kama wadau hamuamini jaribuni kupitia mada nyingi na nyinyi mtakuwa ni mashahidi wangu.

CHADEMA, Hivi kuhoji matumizi ya hela za walipa kodi ni kosa la jina???

jamiiforums.com - 2013-03-04 01:20:42 - Similar - Report/Block

Nimegundua makamanda huwa wakali sana pale ukihoji matumizi ya fedha za ruzuku. Nataka niwaulize jamaa zangu makamanda, hivi kuhoji matumizi ya hela ambazo zinatakiwa zitumike kwenye ujenzi wa chama ni kosa la jinai? Kwa nini thread zote zinazohoji matumizi ya hela za ruzuku ambazo chadema imepewa zinafutwa? Nini maana ya demokrasia ya kw...

Candle Holder Wall Sconce Amazon Deal – Only $9.40

coupondad.net - 2013-03-02 22:15:08 - Similar - Report/Block

Candle Holder Wall Sconce Amazon Deal – Only $9.40 We have a HOT Amazon Deal for you this afternoon! Right now you can score this set of 2 Modern Art Candle Holder Wall Sconces for only $9.40! These are marked down from $12.95! Seems like a great deal for adding a little class to your home! Candle Holder Wall Sconce Click on the link abov...

Matokeo ya kenya yatangazwa (kcse) linganisha na tanzania (csee)

jamiiforums.com - 2013-03-01 10:18:12 - Similar - Report/Block

Nimemwangaliwa waziri wa Elimu wa Kenya akitangaza matokeo ya KCSE muda mchache uliopita kupitia Citizen Tv. Kwanza alitanza amejiamini, ana furaha, anapigiwa makofi. Amesema kuwa kiwango cha Elimu kimepanda, na kiwango cha Ufaulu pia kimepanda. Mtindo wao wa utangazaji matokeo sio kama wa Tanzania, alitaja kimikoa, na baadaye akataja wan...

Haya ni Matokeo ya Kutokuwa na Bunge !

jamiiforums.com - 2013-02-27 13:39:43 - Similar - Report/Block

Serikali kwa sasa haina chombo cha kuisimamia. Bunge limekuwa kama kikao cha kawaida cha CCM. Hayayanathibitishwa na hatua za serikali kuunda tume kujichunguza kila linapotokeajanga. Lakini pia serikalihuwa haistushwi na janga lolote linalotokea kwa kuwa hakuna chombo chakuiwajibisha Serikali huzima moto kwa kuufunika na ungo, (migogoro y...

Singida (v) wajipongeza kwa Kufelisha

jamiiforums.com - 2013-02-26 08:28:29 - Similar - Report/Block

Wiki iliyo pita Maafisa idara ya elimu Singida walitembelea Ngorongoro kuvinjari huku shule zao zikiwa zimefelisha vibaya kwenye mitihani ya taifa. Elimu ya msingi ni kati ya wilaya duni na sekondari ndio usiseme. Haya ni baadhi ya matokeo ya shule zilizojitahidi: Ikungi sec ilikuwa ya 1344 kati ya shule 3392 ilongero 1737 / 3392 sepuka 1...

Tusitafute mchawi kwa anguko la elimu tz

jamiiforums.com - 2013-02-25 13:29:06 - Similar - Report/Block

TUSITAFUTE MCHAWI KWA ANGUKO LA ELIMU TZ Wanasiasa uchwara, wanaharakati, na makuadi wa magharibi kwa pamoja wamekuwa wakiendeleza body language za walimu wanaonewa, elimu mbovu,walimu wanahali ngumu, Haki zao hawapati. Umekuwa wimbo wa kila siku bila kutafakari kwa kina matokeo ya maneno hayo kwa WALIMU, na WANAFUNZI. Ni kweli tatizo kat...

News Alert: Kutoka gazeti la JAMBOLEO, KISANDU anena Matokeo Kidato cha nne na Cha Pili

jamiiforums.com - 2013-02-22 13:03:43 - Similar - Report/Block

Binafsi kama mwalimu mwenye taaluma ya ualimu, matokeo ya Mtihani wa kidato cha nne 2012 ambayo yametoka juzi yanakatisha tama kabisa kutokana na idadi ya walio feli kuwa kubwa kuliko kawaida. Mwezi jana tu matokeo ya kidato cha pili nayo watoto walivurunda sana hasa mkoa wa Dar es salaam ukiongoza kwa kuvurunda. Kwa matokeo mabovu kama h...

Waliochangia matokeo ya kidato cha nne kuwa hivi

jamiiforums.com - 2013-02-21 14:21:21 - Similar - Report/Block

Wanajamvi naomba kuwasilisha maoni yangu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2012. Maoni yangu yatajikita zaidi upande wa waliotumia nafasi zao vibaya na kusababisha matokeo haya. Serikali ya chama cha mapinduzi Wizara pamoja na idara zilizomo chini yake imeshindwa kabisa kuisimamia elimu. Shule nyingi hazina walimu na hata...

Ukata ni hatari katika elimu vyuo vikuu

jamiiforums.com - 2013-02-08 13:02:10 - Similar - Report/Block

Hebu fikili ndugu yangu yangu katika kipindi hiki cha likizo ya siku chache ambayo haiwezi kukufanya mtu unae toka hata kilomita 100 nje ya barabara kuu huwezi kudi nyumbani kwa sababuni siku chache lakin mbali na hilo chuo kitaanza masomo kabla loan board hawajatoa acommodation hivi mwanafunzi atahuzulia vipi vindi,hebu fikilia tangu dis...

Watz tutoe maoni katiba mpya itoe majibu kwa mahitaji ya msingi kwa watz

jamiiforums.com - 2012-08-25 22:41:09 - Similar - Report/Block

ISIWE HISANI YA TV/RADIO STATION/MAGAZETI KUTANGAZA WAGONJWA SUGU/WAJANE/ Nk BALI IWE WAJIBU WA WATZ WOTE KUPITIA SERIKALI.

Mafuta ya ubuyu!

jamiiforums.com - 2012-08-05 11:23:11 - Similar - Report/Block

Ndugu kuna mtu anauza mafuta ya mbegu za ubuyu, kati ya Tsh 40,000 na 60,000. Swali je nini kimeyapa mafuta haya thamani kubwa kiasi hicho kwa muda mfupi? Pia naambiwa matumizi ni kuyala mabichi na si kupukia! Ni kweli yana medicinal values kama inavyodaiwa? Au ni upepo tu kama wa ngetwa 3, ngoka 11 na babu wa samunge? Msaada tafadhali!...

returning multiuple values in Java

stackoverflow.com - 2012-05-13 21:23:21 - Similar - Report/Block

I'm looking for a convenient way to return multiple objects from a Java method call. Kind of like in PHP: list ($obj1, $obj2, ...) foobar(); I'm really getting tired of passing holderobjects in the arguments for example: class Holder { int value; Holder h1=new new Holder(); Holder h2=new new Holder(); and then: o.foobar(h1,h2); ... would

Making Line ActionScript using lineTo

stackoverflow.com - 2012-02-21 12:06:00 - Similar - Report/Block

I'm extremely new to flash programming, and suddenly my teacher give me assignment to make a flash about mirror reflection line. Here is my as code to draw a simple line after following some tutorial online. _root.createEmptyMovieClip("holder",1); holder.clear(); holder.lineStyle(1,0,100); holder.moveTo(benda._x, benda._y); holder.lineTo(...




dialogShowMessage!

Fill out the form you see below. Registration is free, fast and simple.
If you are already registered, sign in page login.


Web Site :
Required Field
First Name :
Required Field
Last Name :
Required Field
Email :
Required Field
Sex :
Required Field

evolveStar.com is free for ever !


evolveStar.com provides a search engine that allows you to gather information to write their own blog.


evolveStar.com enhances the sources displaying the logo of the site.


If you want to remove your site or you believe a site listed infringes copyright, please report it to: info@evolvestar.com


Specifies the subject copyright violation and the url of the page


evolveStar.com respecting the law DMCA (Digital Millennium Copyright Act) will immediately remove whatever its merits.


Next will be effectual and relevant checks.







Who We Are Partner Advertising Contacts Privacy terms Help & FAQ

© Copyright 2010-2017 Fabrizio Fichera. All rights reserved.